USIKU WA FIESTA 2016 MOROGORO “IMooooooooooooo!!!”

 Historia imeandikwa hapo jana Septemba 18 katika uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro baada ya msimu wa Fiesta kupita mkoani hapo na kuwadondoshea bonge moja la burudani wakazi wa mkoa huo.

Perfect255 inakuletea picha za baadhi ya matukio ambayo yalikuwa yakiendelea katika show hiyo hapo jana.

Instagram photo by Clouds Fm_BKg2ubuAWW2 - JPG
Mkongwe Dully Sykes akiwa kwenye Stage
Instagram photo by Clouds Fm_BKg5KLwgQyr - JPG
Belle 9 ambaye ni mmoja wa wenyeji wa timu ya Fiesta mkoani hapo akiwa kwenye stage.
Instagram photo by Clouds Fm_BKg6FlLApa0 - JPG
Hitmaker wa ngoma ya Marioo hamadai akiwa kwenye stage
Instagram photo by Clouds Fm_BKg61lgAzYa - JPG
Nandy pamoja na Maua Sama wakidondosha bonge moja la show
Instagram photo by Clouds Fm_BKg85wKgzdf - JPG
Nandy na maua Sama
Instagram photo by Clouds Fm_BKgtJ9RgqEL - JPG
Pale Mama mzazi wa Albert mangwea alipopanda jukwaani kwa tukio la kumkumbuka Ngwea
Instagram photo by Clouds Fm_BKguFuDgtOF - JPG
Adam Mchomvu akiamsha popo
Instagram photo by Clouds Fm_BKgw3O - JPG
Pale mwanadada Vanessa Mdee alipo wadondoshea wana Morogoro bonge la show.
Instagram photo by Clouds TV_BKgz1W5jwo2 - JPG
Vanessa mdee na Jux
Instagram photo by Clouds TV_BKgr - JPG
Bonge La Nyau
Instagram photo by Clouds TV_BKgliX5jHao - JPG
Muonekano wa Jukwaa katika Show hiyo.
Story by:@Joplus_
Source:Perfect255.com