TREY SONGZ ATUA NAIROBI KWA MAANDALIZI YA MSIMU WA NNE WA COKE STUDIO AFRICA.

 Staa wa R&B wa Marekani, Trey songz ametua jijini Nairobi, Kenya tayari kwa ajili ya msimu wa nne wa Coke Studio.

matatu


Kilichowavutia watu zaidi ni pale staa huyo alipoamua kutumia usafiri wa daladala za nchini humo maarufu kama ‘Matatu’

lunch

Hii ni mara ya kwanza kwa mshindi huyo wa Tuzo za Grammy kutua Afrika Mashariki, Trey atashirikiana na mastaa wa Afrika ikiwemo Nyashinski (Kenya). Yemi Alade (Nigeria), Vanessa Mdee (Tanzania), Rema (Uganda), Neyma (Mozambique), Serge Beynaud (French West Africa), Lij Michael (Ethiopia), Stonebwoy (Ghana), na Emtee (South Africa).

Story By: @Joplus_

Source: Perfect255.com