TAZAMA COUNTRY BOY, STAMINA NA YOUNG KILLER WALIVYOWAKOSHA MASHABIKI MAISHA CLUB.

Ni Usiku wa kuamkia October 3, 2016 ambapo Country Boy aliwakutanisha mashabiki wa muziki wa Hip Hop katika ukumbi wa Maisha Club ambapo staa huyo akisindikizwa na Stamina, Deddy, Young Killer na wengineo.

Itazame hii video hapa uone jinsi burudani ilivyotolewa na wakali hao.

Story by:@Joplus_

Source: Millard Ayo.