Viwango vya kodi za majengo TRA wanazotoza kwenye baadhi ya maeneo

Leo March 2017 kamishina wa kodi za ndani wa mamalaka ya mapato Tanzania ‘TRA’, Elijah Mwandubya amekutana na waandishi wa habari kwa ajili ya kuzungumzia utozaji na ukusanyaji wa kodi za majengo.

Mwandubya amesema tozo za majengo zinatofautiana kati ya eneo moja na jingine na kulingana na matumizi ya jengo husika kwa mujibu wa sheria ndogondogo zilizotungwa na mamlaka hizo za Serikali za mitaa. Baadhi ya maeneo aliyoyataja na viwango vya tozo kwa mwaka ni kama vile……

-Manyara-5,000

-Mbeya-5,000

-Temeke- 15,000

-Kinondoni- 15,000

-Kibaha 10,000

-Mpanda 10,000

 Source: Millard ayo