Maswali 9 aliyoyajibu Samatta baada ya kuungana na Taifa Stars

March 13 2017 kocha wa muda wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Salum Mayanga alitangaza majina ya wachezaji 26 watakaunda timu ya taifa, jina la nahodha Mbwana Samatta anayeichezea KRC Genk ya Ubelgiji lilikuwa ni moja kati ya majina 26 yaliyoitwa na Salum Mayanga.

Samatta  aliwasili Dar es Salaam na kuungana na wenzake katika mazoezi ya Taifa Stars yaliyofanyika uwanja wa Taifa  leo, baada ya kuungana na wenzake kwa mara ya kwanza alikutana na waandishi wa habari na kujibu maswali mbalimbali.

 Source: Millard ayo