‘Mwenyewe tu niliamua ili niingie kwenye masuala ya entrepreneur ndio maana nilisimama kuimba muziki kwani mshika mbili siku zote humponyoka ndio maana nikaamua kukaa zaidi kwenye biashara zangu, nimemiss kwenda studio na ukikuta muda mwingi naukosa kwasababu nautumia kukaa na familia’- Meninah
‘Mkataba wangu na Producer Lamar ulikwisha siku nyingi ila inshallah nitarudi kwenye masuala ya media kwani sasa hivi nafanya maandalizi ya kipindi changu nitarudi kama Mtangazaji lakini sio kama Mwanamuziki’- Meninah
Source: Millard ayo