VANESSA MDEE A.K.A VEE MONEY ALIVYOTOA BURUDANI KWENYE INTERVIEW YA CITIZEN.

Ni fahari kubwa kuona wasanii wa nyumbani kuvuka mipaka ya Tanzania na muziki wao kukubalika mpaka nchi za nje ya Tanzania, Msanii wa kike kutoka Bongoflevani, Vanessa Mdee amezikamata headlines baada ya kuchaguliwa kuwa miongoni mwa wasanii watakaoperfom kwenye Coke Studio ambayo atafanya collabo na msanii wa Marekani, Trey Songs nchini Kenya.

Licha ya kuchaguliwa Coke Studio alifanya pia interview na kituo kikubwa cha kenya cha Citizen na alifanya perfomance ambayo ilivutia watu wengi, kama ulimiss kuona perfomance hii nakusogezea video hapa chini pamoja na interview ilivyokuwa.

Nakusogezea video ya interview ya Vanessa mdee na Citizen

Story by:@Joplus_
Source: Millard Ayo