Mwaka huu ambapo mashindano ya CAF yamefanyiwa mabadiliko ya Club Bingwa na Shirikisho na kuweka Makundi manne tofauti na misimu iliyopita makundi mawili, imechezesha droo na Yanga kuangukia dhidi ya MC Alger ya Algeria, Yanga itaanzia nyumbani na baadae kurudiana Algeria.
Timu zilizoanza kuandikwa zote zitaanza kucheza nyumbani mchezo wake wa kwanza
Source:Millard Ayo