Mapokezi Ya Majeruhi Lucky Vincent.

Watanzania wamejitokeza kuwapokea manusura watatu wa ajali ya basi la wanafunzi wa Shule ya Lucky Vincent ya Arusha wakitokea Marekani ambako walikuwa wanapatiwa matibabu. Ambapo wamewasili leo.

Source: Millard ayo

Generic selectors
Exact matches only
Search in title
Search in content
Post Type Selectors
muzikizaidi
Author: muzikizaidi