‘Nilishawahi kukosana na Barnaba mbona hata Young Killer nilishawahi kukosana nae lakini Barnaba ni moja kati ya kaka zangu ninaowaheshimu ila kuna siku tu ndio watu walikuwa wana judge baada ya yeye kutopost kazi yangu mpya kwenye instagram yake ila yapo mengi yaliyotokea kabla ya hayo kipindi cha nyuma’- Ice Boy
Source: Millard ayo