Dada achukua mtoto wa jirani na kujifungia ndani, akataa kumtoa

Inadaiwa kuwa dada huyo hakuwa na mazoea na mtoto huyo lakini kilichoshangaza kitendo chake cha kumchukua mtoto huyo na kujifungia naye chumbani ambako licha ya kubanwa hajasema kwa nini alifanya hivyo ingawa mtoto huyo alikuwa analia.

Source: Millard ayo

Generic selectors
Exact matches only
Search in title
Search in content
Post Type Selectors
muzikizaidi
Author: muzikizaidi