Dada achukua mtoto wa jirani na kujifungia ndani, akataa kumtoa

Inadaiwa kuwa dada huyo hakuwa na mazoea na mtoto huyo lakini kilichoshangaza kitendo chake cha kumchukua mtoto huyo na kujifungia naye chumbani ambako licha ya kubanwa hajasema kwa nini alifanya hivyo ingawa mtoto huyo alikuwa analia.

Source: Millard ayo