kwenye Leo Tena ya Clouds FM Geah Habibu ametuletea HekaHeka ambayo imetokea Magomeni inayomuhusu msichana wa miaka 12 aliyejifungua mtoto kunyimwa chakula na bibi yake.
Awali majirani walidai kuwa mtoto huyo alikuwa ananyimwa chakula na bibi yake, lakini bibi huyo alikanusha ambapo alisema ugumu wa maisha kwenye familia yao ndiyo sababu ya kuonekana anamnyima chakula mjukuu wake huyo.
This website uses cookies to improve your experience while you navigate through the website. Out of these cookies, the cookies that are categorized as necessary are stored on your browser as they are as essential for the working of basic functionalities of the website. We also use third-party cookies that help us analyze and understand how you use this website. These cookies will be stored in your browser only with your consent. You also have the option to opt-out of these cookies. But opting out of some of these cookies may have an effect on your browsing experience.
Necessary cookies are absolutely essential for the website to function properly. This category only includes cookies that ensures basic functionalities and security features of the website. These cookies do not store any personal information.