Kupitia XXL ya Clouds FM, U-heard ya leo inamuhusu mkali wa muziki wa Bongofleva kutoka Mazense Madee ambaye anadaiwa kumtelekeza mpenzi wake wa zamani baada ya kupata mtoto na mwanamke mwingine anayejulikana kwa jina la Minah.
Soudy Brown alipiga story na Madee pamoja na Minah mwanamke aliyezaa naye na majibu yao yalikuwa haya..>>>”Sasa kama nina mtoto mpya Soudy wewe ni nani mpaka nikuambie..? Taarifa zikiwa rasmi nitakuambia.” – Madee.
This website uses cookies to improve your experience while you navigate through the website. Out of these cookies, the cookies that are categorized as necessary are stored on your browser as they are as essential for the working of basic functionalities of the website. We also use third-party cookies that help us analyze and understand how you use this website. These cookies will be stored in your browser only with your consent. You also have the option to opt-out of these cookies. But opting out of some of these cookies may have an effect on your browsing experience.
Necessary cookies are absolutely essential for the website to function properly. This category only includes cookies that ensures basic functionalities and security features of the website. These cookies do not store any personal information.