
Quick Rocka alisema hapakuwa na mtu aliyekuwa anamjua King Luffa lakini alimuamini na kumpa nafasi na sasa anamtakia kila la heri.
…>>>”King Luffa alikuja Switcher miaka mitatu iliyopita hakuna aliyemjua. Nikamuamini, nikampa nafasi. Namtakia kila la heri.” – Quick Rocka.
Pamoja na hayo Quick Rocka ameizungumzia issue ya Switch Music Group na Switch Record kuwa ni vitengo viwili tofauti…>>>”Switch Music Group ni kitengo kingine mbali na Switch Record hii ni label mpya ya kuibua vipaji vipya.” – Quick Rocka.
Source: Millard ayo