>>>“Inamzungumzia baba wa familia kama kiongozi aliyepewa dhamana ya kuiongoza familia, mama na familia imempenda sana baba, kawaida ya baba akipendwa anachukulia poa, upendo umemlevya baba anaanza kufanya mambo yasiyofaa, anakuwa mtu wa ‘totoz’au Kiki”-Nikki wa Pili
>>>”Msanii ni zao la mazingira yake tumetumia maneno yanayozunguka sasa hivi tumeyatoa kwenye ‘muktadha’ yake tumeyaleta kwenye wimbo wetu tukatoa kitu”:- Nikki wa Pili
Hata hivyo Weusi wamewaahidi mashabiki zao kuwa watawaletea Video mpya ya wimbo huo soon
Source: Millard ayo