Taarifa hiyo ambayo ilikanushwa kupitia ukurasa rasmi wa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu Gerson Msigwa, inaeleza kuwa serikali imesema itafungia matumizi ya mitandao ya kijamii endapo itabaini hayana tija yoyote nchini.

Hii ndio taarifa feki inayosambazwa na kudaiwa kuwa imetoka Ikulu Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu
Source: Millard ayo