Soudy Brown kazungumza na Wema Sepetu ambapo majibu yake yalikuwa haya…>>>”No hapana hakuna kitu kama hicho, Mirror kuna vitu alizingua yeye kama yeye, ikabidi mimi nisitishe vitu nilivyokuwa navifanya na nikamuachia Petit money asimamie kwahiyo vitu vyote muulizeni petit money, Mirror alikuwa mtoto mtukutu alikuwa haambiliki”
Source: Millard ayo