“Natamani kumuandikia ngoma Bill Nass na mtu mwingine anayeimba. Niliwahi kuandika ‘Nilikataa’ pamoja na wimbo wa ‘Aseme’ wa Q chilla.” – Jay Moe.
Baada ya kusema hayo mkali wa hit song ‘Mazoea’ Bill Nass naye aliamua kuchangamkia fursa hiyo na kuandika haya kwenye Twitter ..>>>”Kwa Kuchangamkia Fursa !!Jay Mo Kaka Yangu Nakutumia Beat Mbili jioni ya leo Tukamilishe Story Ni Baraka Kwangu #NisaidieKushare”:-Bill Nass.
Source:Millard ayo