Meneja wa Manchester United Jose Mourinho

Mshambuliaji wa Tottenham Harry Kane, 24, na kiungo wa kati Christian Eriksen, 25, walikuwa wakitazamwa na Barcelona wakati wa mechi na Real Madrid. (Mundo Deportivo via TalkSport)

Meneja wa Manchester United Jose Mourinho, amefanya mazungumzo ya mkataba mpya lakini hana mbio za kuusaini mkataba huo. (ESPN)

@moodyhamza