Meneja wa Manchester United Jose Mourinho

Mshambuliaji wa Tottenham Harry Kane, 24, na kiungo wa kati Christian Eriksen, 25, walikuwa wakitazamwa na Barcelona wakati wa mechi na Real Madrid. (Mundo Deportivo via TalkSport)

Meneja wa Manchester United Jose Mourinho, amefanya mazungumzo ya mkataba mpya lakini hana mbio za kuusaini mkataba huo. (ESPN)

@moodyhamza

 

Generic selectors
Exact matches only
Search in title
Search in content
Post Type Selectors