Jux aongeza bidhaa hii kwenye brand yake

Brand ya African Boy ya Jux inazidi kuongeza bidhaa zaidi. Baada ya kuachia t-shirts, mabegi, viatu na vingine, Jux ameingiza sokoni mifuko. Mifuko hiyo ya kubebea vitu mbalimbali ina rangi nyeupe na vishikio vya rangi nyeusi.

Hiyo ni bidhaa ya aina yake kwa msanii wa Tanzania kuingiza sokoni.

                                                                           Source: Dizzim online