Tume maalum iliyoundwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuchunguza kifo cha Faru John ilikabidhi ripoti kwa Waziri Mkuu ikisema kuwa faru huyo alikufa baada ya kukosa matibabu.
Nakusogezea stori inayomuhusu faru mwingine anayeitwa Faru Faustaambaye anatajwa kuwa Faru mwenye umri mkubwa zaidi Duniani anayepatikana kwenye Hifadhi ya Taifa Ngorongoro akikadiriwa kuwa na umri wa zaidi ya miaka 65.
This website uses cookies to improve your experience while you navigate through the website. Out of these cookies, the cookies that are categorized as necessary are stored on your browser as they are as essential for the working of basic functionalities of the website. We also use third-party cookies that help us analyze and understand how you use this website. These cookies will be stored in your browser only with your consent. You also have the option to opt-out of these cookies. But opting out of some of these cookies may have an effect on your browsing experience.
Necessary cookies are absolutely essential for the website to function properly. This category only includes cookies that ensures basic functionalities and security features of the website. These cookies do not store any personal information.