AUNT EZEKIEL AZIDI KUSHUSHIWA MVUA YA MADONGO BAADA KUHUDHURIA BIRTHDAY PARTY YA ZARI.

Naona Watu bado hawajamuelewa Aunty Ezekiel Kuhudhuria sherehe ya Birthday ya Zari Japo jana aliwapa mchambo wa nguvu……
Ona huyo alivyomjibu Aunty Ezekiel
Tzshaderoom
well look at Dida Shaibu ni fan no 1 wa Mondi haina ubishi kaiweka wazi no problem at all kila mtu na mtazamo wake na wapi aelekeze ushabiki Miss independent Kala birthday kamaliza next day kasepa kuendelea na kazi zake. Yes hajihusishi na ishu za family ya Mondi yeye ni shabiki tuu. Back to Aunty Ezekiel ww ni Iyobo baby mama gal time to look at your self play ur role as a baby mama ishu zingine kaa kando so many names utaitwa coz we all TZ ktk Familia kukiwa na migongano ya Mara kwa Mara try to step out Ndugu wenyewe unaona wanavyo angaliana kwa macho Bila kujihusisha direct .cheki mchaga anavyo fanya yupo na bwanake tuuu cheki mke wa Babu tale cheki Mke wa salami woote wapo busy na Familia zao yes watamsalimia mke wa mondi but clearly unaona wazi kuwa Kuna some line wamejiwekea but ww #aunti kutaka kuplay smart at the end of the day utaonekana mbaya mama tee kasafiri na mwanaye where is your child 😨😨😨 wacha izo ishu banaaa kaa na Familia yako wacha mambo yakujifanya ww ndiyo Mrs salami or Mrs babu tale it shows you are trying so hard but the public wanajiuliza so many questions mbona hustukii? Why unashade more than #iyobo 😨😨😨 are you employed by WCB 😔😔😔 look Ndugu wapo kando but ww ndiyo umechukuwa nafasi ya Rommy J, Esma, Halima na Queen Darling hustuki tuuu 😩😩😩 wanawake na wake woote wa vijana wa WCB wapo kimya but wewe ndiyo upo tuuu ebu stuka Bana kaa kando let the family go to their crisis alone Mara nyakunyaku ooh nn #aunti do you think mtu akitaka kumchukuwa #mose same way ulivyo mchukuwa from Mwengi watashindwa 😨😨😨 think twice step out be normal like the rest✌✌✌

Story by:@Joplus_

Source:Raha za walimwengu