Samatta ambaye ndio nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars jioni ya March 22 2017 kupitia ukurasa wake wa twitter amejaribu kutoa wazo na kuuliza swali kwa watu wake kuwa “Nina wazo kwa nini Dar isibadirishwe jina ikaitwa Kolomije kwani tutapungikiwa nini
Swali la Samatta limechukuliwa kama utani tu kutokana na jina la kijiji cha Kolomije kilichopo Mwanza kimekuwa maarufu kutokana na kutajwa mara kwa mara hivi karibuni katika mitandao ya kijamii.
Source: Millard ayo