SHAMSA FORD AFUNGUA UKURASA MPYA LEO

Ni Mwigizaji kutoka Bongo Movie, Shamsa Ford ambae leo September 2, 2016 ameandika ukurasa mpya kwenye maisha yake baada ya kufunga ndoa na mchumba wake aitwae Rashid. Sherehe hiyo ilhudhuriwa na watu maarufu wakiwemo wasanii mbalimbali wa Tanzania.@Joplus_

Hizi ni picha kutoka kwenye eneo la tukio Sinza Mabatini nyumbani kwa wazazi wa Shamsa Ford

.

.

.

.
AW1A7255
AW1A7258
Source: Millard Ayo