Baada ya miezi mitatu tu kwenye mahusiano pop staa Taylor Swift ameachana na mpenzi wake Tom Hiddleston.
Sababu ya wawili hawa kuachana imetajwa kuwa ni kauli ya Taylor kuwa hakutaka mahusiano yake ya Tom kuwa wazi sana sababu sio kitu anachotaka kwa sasa.
Taylor Swift alihamia nyumba moja na staa huyu Muingereza muda mfupi tu baada ya kuanzisha mahusiano yao ikiwa ni wiki mbili tu baada ya kuachana na boyfriend wake Calvin Harris June mwaka huu.
Story By:@Joplus_
Source: Sam Misago.