Kutokana na ujumbe huo wa Yusuph Mlela kwenye EXCLUSIVE interview na Ayo TV Entertainment na millardayo.com Nay ameelezea majibu ya ombi hilo ambapo mbali na kuzungumzia pambano aliloombwa, pia Nay ametupa good news za kumtambulisha msanii mpya kwenye label yake.
Source: Millard ayo