Afisa Mtendaji kaamua kujinyonga.

Kwenye Magazeti ya Tanzania leo July 28, 2017 issue nyingi zimechambuliwa ambapo miongoni mwao ni issue ya Afisa Mtendaji wa Kijiji kujinyonga hadi kufa akihofia kuhojiwa na Polisi baada ya kupotea msichana.

Source: Millard ayo