Ua hilo linaitwa African Violet hustawi maeneo yenye asili ya miamba pekee limebaki moja kwa sasa katika msitu huo ambapo linasadikika kuota katika Milima ya Usambara kwa zaidi ya miaka milioni 30 iliyopita na kuwa kivutio kikubwa kwa watalii mbalimbali wanaotoka ndani na nje ya Tanzania.
Source: Millard ayo