Binti Mtanzania wa miaka 20 aliyelipwa BILIONI 1 Ufaransa kwa dili moja

Herieth Paul ni Binti Mtanzania mwenye umri wa miaka 20 tu lakini jina lake limekua kubwa kila kukicha nchini Marekani akiwa ni Mwanamitindo mwenye umri mdogo lakini amepiga hatua kubwa kwenye kazi ya Uwanamitindo:

Source: Millard ayo