List hii pia ilitaja wanamuziki kama John Legend,Chance the Rapa na Demi Lovato na kwa upande wa wanawake jarida la Times imetaja wanawake 40 wenye ushawishi kwa mwaka 2017 ambapo mshindi wa Olimpiki 2016 simone Biles na Ivanka Trump ni miongoni mwao.
Source: Millard ayo