Pamoja bado yupo kwenye majonzi ila Team Wema bado wanaendelea kurusha vibomu kwa Zari, Huyu hapa chini anawashutuma marafiki wa Zari Kumkacha rafiki yao kipindi hichi kigumu kwake:
From @wemakingdaily – Hakuna hata rafiki either from SouthAfrica Or TanzaniašHata rafiki yake VeraSidika yuko jirani hapo kenya kashindwa kujaš Kwenye 40 ya Nillan watu kibao walifika kumsupport ila leo yuko peke yake,Madam Rita ndo kabisaa anaomboleza msiba insta halafu hata mtu mmoja kutoka WCB hata wa kuwakilisha hakunaš¢š¢ Diamond mwenyewe katudanganya atakuja kwenye kuaga kumbe hola mpaka maiti inaelekea kuzikwašš Hata hao wanaojiita TeamZari kutukana watu na kuchamba watu wameshindwa kujichangisha kwenda kumuunga mkono Star waoššš@zarithebosslady atakuwa amejifunza kitu hapa! aache kunyali wenzie
Source: Udaku