Vanessa amemuelezea Brian Simba kama kijana mwenye nidhamu ya kazi na tangu alipomuona kwa mara ya kwanza aliona kuwa ana kipaji kikubwa ila anachohitaji ni mtu wa kumsaidia afike mbali na hiyo ndiyo sababu ya kumsaini kwenye label yake ya Mdee Music.
Source: Millard ayo