Siku chache baada mkongwe wa Hiphop Bongo, Prof. Jay kufunga ndoa, mkali mwingine wa Hiphop AY na yeye amefuata nyayo, amemchumbia mpenzi wake. Â Â Â Ay amchumbia mpenzi wake wa muda mrefu Aitwaye remy ambaye ana asili ya kinyarwanda
Ay aliwahi kusema kuwa amekuwa na mpenzi wake huyo kwenye mahusiano kwa zaidi ya miaka 7.
Source: Millard ayo