Ay amvalisha Pete ???

Siku chache baada mkongwe wa Hiphop Bongo, Prof. Jay kufunga ndoa, mkali mwingine wa Hiphop AY na yeye amefuata nyayo, amemchumbia mpenzi wake.       Ay amchumbia mpenzi wake wa muda mrefu Aitwaye remy ambaye ana asili ya kinyarwanda

 

Ay aliwahi kusema kuwa amekuwa na mpenzi wake huyo kwenye mahusiano kwa zaidi ya miaka 7.

Source: Millard ayo

 

Generic selectors
Exact matches only
Search in title
Search in content
Post Type Selectors
muzikizaidi
Author: muzikizaidi