“Bugana” ni neno la kitaa ikimaanisha ‘pesa’ na ni ngoma ya kwanza kuvikutanisha hivi vichwa viwili “BillNass” akiwa na “Nandy” Hili goma ndio habari Mpya Town toka kwa “#BillNandy” video imeongozwa na Director Joowzey. Enjoy
![](https://muzikizaidi.com/wp-content/uploads/2019/09/officialnandy_69364369_491974251587336_917528088229863938_n-e1567580519410-1024x1024.jpg)
[variable_1] has subscribed muzikizaidi [amount] minutes ago.