Zari The Bosslady nini kinakuja?

Ukitoa drama zote zinazoendelea kati ya Diamond na Hamisa Mobetto, Zari The Bosslady ametease mradi mpya ambao bado haujulikani hasa unahusiana na nini zaidi ya kuweka tu hashtag, #Anameremeta.

Kwenye moja ya picha alizoweka Instagram Ijumaa hii, Zari ameandika: @laviemakeup…. Was great working with you, awaiting this project.

Kwenye post nyingine amemshukuru pia mama yake Diamond kwa kuandika: Allow me to thank the people who pulled through to make this project a success regarding my wardrobe @aminadesigns thank you for putting up with my demanding self, @luluzhair can’t even express myself because u made sure I had a variety to choose from and some needed up in my luggage.. oopsy @laviemakeup garrrl you are bae thank u for the face beating effortlessly as you put it @mama_dangote for the headscurf

Naye Bi. Sandra amepost picha ya Zari na kuandika: IJUMAA KAREEM MAMA TEE MTANDIO KUTOKA KWA MTU MBAYAAAAAA KUBWA LA MAADUI..BIBI TEE ..SANDRAH SAMMY #ANAMEREMETA @2colections_dubai @2colections_dubai.

Source: Dizzim Online.