“This beautiful song is to make us aware of how our Lord Jesus is so precious and so good than anything that we may have in life, for to us to live is Christ.” – Walter Chilambo
Hivi kuwa na mali Magari ya kifari Bila amani Unajivunia nini ? yeah Pesa nyingi Nyumba na biashara Bila amani, yeah yeah Si mali kitu kama unaishi unalia ndani yako Kwa maumivu tena umeshikilia imani zako Wamsahau mungu eti unajivuna ni nguvu zako na shule umesoma tena unajidanganya ni akili zako Polee Duniani sipakujivunia jina Wala mavazi ya heshima Bali neno la uzima litatuongoza vyemaaa Chorus: Mwezenu mimi jamanii Najivunia kuwa na yesu Vya dunia nimeviacha mbali Najivunia kuwa na Yeye Yesuu Pekee yake anasimama Najivunia kuwa na Yesu Mfalme wa wafalme Najivunia kuwa na yeye Yeye ni mwalimu wa walimu Ananifundisha vyema Yeye ni tabibu wa karibu Napata tiba njema Yeye ni dereva Anazijua njia zangu baba wo yeye ndie Shujaa Anishindia vita yangu baba wo Si mali kitu kama unaishi unalia ndani yako Kwa maumivutena umeshikilia imani zako Wamsahau mungu eti unajivuna ni nguvu zako Na shule umesoma tena unajidanganya ni akili zako Polee Duniani si pakujivunia jina Wala mavazi ya heshima Bali neno la uzima litatuongoza vyema [Chorus] Mwenzenu mimi jamani Najivunia kuwa na yesu Vya dunia nimeviacha mbali Najivunia kuwa na yeye Yesu pekee yake anasimama Najivunia kuwa na Yesu Mfalme wa wafalme Najivunia kuwa na Yesu Kwa mara hii mungu Aliupenda ulimwengu Akamtoa mwanae wa pekee Ili kila mtu a mwaminie asipotee Bali awe na uzima wa milele Najivunia kuwa nae Mwenzenu mimi jamani najivunia kuwa na Yesu Vya dunia nimeviacha mbali Najivunia kuwa na yeye Yesu peke yake anasimama Najivunia kuwa na yesu Ninatembea kwa maringo Najivunia kuwa na yeye