‘Watanzania ninafahamu mna uhuru wa kuzungumza, nawaomba tujielekeze kwenye vitu vya maendeleo, tunajielekeza zaidi kwenye udaku.Nawaomba watanzania kampeni zimeshakwisha ulie lakini Rais ni Magufuli, mimi kwangu ni hapa kazi tu, maendeleo.Mimi ndiye ninayeamua nani atakuwa wapi, kwa hiyo Makonda chapa kazi.Kwa sasa tuko kwenye mchakato wa kujenga barabara kutoka DSM kwenda Chalinze kwa barabara ya njia Sita.Tupo hapa kusaini mkataba wa mkopo na kuweka jiwe la msingi, namshukuru sana Rais wa benki ya dunia.
This website uses cookies to improve your experience while you navigate through the website. Out of these cookies, the cookies that are categorized as necessary are stored on your browser as they are as essential for the working of basic functionalities of the website. We also use third-party cookies that help us analyze and understand how you use this website. These cookies will be stored in your browser only with your consent. You also have the option to opt-out of these cookies. But opting out of some of these cookies may have an effect on your browsing experience.
Necessary cookies are absolutely essential for the website to function properly. This category only includes cookies that ensures basic functionalities and security features of the website. These cookies do not store any personal information.