RAY C APATA TUMAINI JIPYA LA KUTOKA KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Rehema Chalamila, Ray C ameanza kuwa na matumaini mapya kwenye maisha yake baada ya kuonekana kuwa na afya njema tangu alipotoka rehab kwa ajili ya kuachana na matumizi ya unga.
Muimbaji huyo alikuwa na wakati mgumu kwenye miezi mitatu iliyopita baada ya kurudia tena kwenye matumizi ya madawa hayo ambapo alidaiwa kuwa tayari ameshaacha tangu miaka mitatu iliyopita baada ya kupata msaada kutoka kwa rais mstaafu, Jakaya Kikwete.
Kupitia mtandao wake wa Instagram, Ray C ameandika:
“I have found that FEAR is a lack of FAITH,and I have found a loving,personal God to whom I can turn.I no longer need to be AFRAID..My Universal Partner is here with me 24/7 ,every second,every minute of my breath,he is my breath!I call him Allah,Mola,Maulana,Mungu,Hope,Strenght,Upendo,Amani,Busara,Huruma.”
“My partner has got it all and am blessed to have a partner like you in my soul,you really touch my soul Sir and thats why i call you……..MY POWERFUL UNIVERSAL PARTNER. I LOVE YOU PARTNER.”
“Mungu ana miujiza,!!!!!!!!My Universal Partner you are one of a kind!I LOVE YOU FOREVER AND EVER……….YOU ARE MY STRENGTH,YOU ARE HOPE,THANK YOU FOR YOUR UNCONDITIONAL LOVE DAD,” ameandika kwenye picha nyingine aliyoiweka kwenye mtandao huo.

Tumwombee aweze kushinda vita hiyo.

Story by:@Joplus_
Source:Raha za walimwengu.