Mtoto Aitham anatambua kutenguliwa kwa Nape Nnauye

Mtoto Aitham Maafudhu ambaye video yake ilisambaa miezi 6 iliyopita akitaja majina ya viongozi mbalimbali, leo March 23, 2017  katambua pia uteuzi wa Waziri mpya wa Habari, Sanaa Utamaduni na Michezo Dr. Harrison Mwakyembe na kuwataja baadhi ya viongozi wengine wa kimataifa.

Source: Millard ayo