Diamond, Alikiba Wamegoma Kuimba Wimbo wa Kuisapoti Serengeti Boys

Kupitia ukurasa wake wa Twitter Maulidi Kitenge ameandika hivi… “Kiba na Diamond wameshindwa kuonesha uzalendo kwa Serengeti Boys wamegoma kuimba wimbo wa hamasa licha kuwepo kamati ya hamasa.inasikitisha”

Source: Udaku