Bob Manecky kamtaja msanii atakaesainiwa Sony Music Africa

Ni Headlines  za producer kutoka Am Records, Bob Manecky ambae amekaa karibu na millardayo.com & Ayo TV kueleza vitu vitatu ambavyo anatarajia kufanya kwa mwaka 2017 ikiwemo ya msanii wa Bongo Fleva atakaesainiwa kwenye Mwamvuli wa Sony Music Africa.

‘Cha kwanza kilikuwa ni wimbo wa Baraka The Prince kingine kuna mkataba tunausubiria kutoka Sony Music Africa ili aendelee kuisambaza album yake baada ya kusainiwa kwenye label hiyo, kingine kuna wimbo mpya unakuja wa Jux cha mwisho ni mimi kuleta kitabu changu ninakitoka mwezi wa sita ambacho kitakuwa kinahusika masuala ya utayarishaji wa muziki’– Bob Manecky

Source: Millard ayo